Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Uongozi wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini katika Kikao cha 142 cha Baraza kilichofanyika Jumatano Septemba 03,, 2025 katika Kituo cha Mafunzo cha Kanda ya Ziwa – Mwanza.