Mwenyekiti wa Kamati ya Taaluma ya Baraza la Uongozi wa Chuo, Profesa Francis Aron Mwaijande (kushoto), tarehe 06 Mei 2026 akiongoza Kikao cha 86 cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ukumbi wa Bodi, Jengo Na. 2 la Taaluma, Kampasi Kuu Dodoma.
Kikao hicho kilipokea na kujadili taarifa za utekelezaji wa shughuli za taaluma kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2026 pamoja na masuala mbalimbali yanayohusu maendeleo ya taaluma chuoni.
Register Now