Mwenyekiti wa Kamati ya Ukaguzi ya Baraza la Uongozi wa Chuo, Dkt. Samwel Werema akiongoza kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ukumbi Na. 5 wa Bodi, Jengo la Pili la Taaluma kampasi kuu Dodoma. Kikao hicho kilipokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa shughuli za ukaguzi kwa kipindi cha mwezi Januari hadi Machi 2026.