Event

Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha Mipango Ajira na Maendeleo ya Wafanyakazi ya Baraza la Uongozi wa Chuo, Bw. Benjamin Chilumba (kushoto), leo tarehe 08 Mei 2026 ameongoza kikao cha 87 cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ukumbi wa Bodi, Jengo Na. 2 la Taaluma, Kampasi Kuu Dodoma. Kikao hicho kilipokea na kujadili taarifa mbalimbali zinazohusu masuala ya Fedha, Mipango, Ajira na Maendeleo ya Wafanyakazi pamoja na maendeleo ya Chuo kwa ujumla.

  • 2026-05-08 17:18:47

.   

Subcribe weekly newsletter
Register Now